Uchunguzi wa Afya na Haki za Wananchi wa Global wa 2019

العربية | 中文 | EnglishEspañol Français | Indonesia | Kiswahili | Português | русский | ​ ​​tiếng Việt​ ​

Kwa niaba ya Mpact na washika dau wote ulimwenguni, Tungependa kuwashukuru wote waliochukua muda kujihusisha na utafiti huu, Jumla ya watu elfu kumi na tano ( 15,000 ) waliweza kushiriki kwenye utafiti huu wa mwaka 2019-2020 (GMHR 2019-2020) ambao ulifungwa mwezi wa Machi 31,  2020.

GMHR 2019-2020 ilikuwa utafiti wetu wa nne ulimwenguni juu ya afya na haki za kibinadamu za mashoga, wenye hisia za mapenzi kwa jinsia zote mbili na wanaume wanao fanya ngono na wanaume wenzao. Uchunguzi wa awali ulihusisha Zaidi ya watu elfu kumi (10,000 ). Ulifichua habari muhimu juu ya hali ya ubaguzi,  hofu ya mashoga, kuhujumiwa kwa haki na ufikiaji wa huduma za afya za mashoga ulimwenguni.

Kama hapo awali, utafiti huu ulibuniwa ili kusaidia kubuni maarifa za programu  , ukuzaji wa sera, utekelezaji wa mpango za programu, na utetezi unaohusishwa na maswala ambayo ni muhimu sana kwa jamii zetu.

Kwa miezi michache ijayo, tutakuwa na shughuli nyingi za kusafisha, kuchambua na kuandika matokeo kutoka kwa daftari hizi tajiri. Tunakualika utazame nyuma kusoma majibu kuhusu afya na haki za mashoga, wenye hisia za mapenzi kwa jinsia zote mbili na wanaume wanao fanya ngono na wanaume wenzao kutoka kote ulimwenguni.

Jifunze zaidi juu ya matokeo kutoka maoni ya zamani ya Utafiti wa Afya ya Wanaume na Haki zao:

MPact Research

Services Under Siege – The Impact of Anti-LGBT Violence on HIV Programs

Rights in Action: Access to HIV Services among Men Who Have Sex with Men

MSM in Sub-Saharan Africa: Health, Access, & HIV 

Young Men Who Have Sex with Men: Health, Access, & HIV 

Access to HIV Prevention and Treatment for Men Who Have Sex with Men The Global Forum on MSM & HIV 

العربية | 中文 | EnglishEspañol Français | Indonesia | Kiswahili | Português | русский | ​ ​​tiếng Việt​ ​